Saturday, October 29, 2011

POZY IN LAMADA

mama yenu hivi ndivyo nilivyoenjoy in lamada na pozi katika                                                      KATIKA KULETA MVUTO

Thursday, September 29, 2011

USIKUBALI KUPANIC

Usikubali kupanic hasa katika nyakati hizi za mitihani!!unaweza kupanic kwa kushindwa jambo,usikubali kupanic,tulia fikiria kwa makini na tuliza kichwa chako na jibu utapata na ukipanic na unaweza ukawa na hasira pamoja uchungu tuliza moyo,jaribu kusikilizia utapata mafanikio na pia hata unafikia hatua kulia lakini kaza moyoNa pia unaweza ukadhani una mkosi hapana huo sio mkosi bali huitwa changamoto so jaribu kukubali hali ya challenge ili uweze kufikia malengo kwa sababu unanopanic huwa hukubali challengeJaribu kurelax na hata ukikosa ujue kwamba MUNGU hajakupangia huko na kuna mahali kakupangia au ana makusudi yake laikini pia kwa uwezo wake atakupa!!VUTA SUBIRA,,UTAFANIKIWA!!!!!!!!tchaoooooo kwako wewe na mimi,karibu katika blog yetu

Friday, July 8, 2011

HELLOW!! WELCOME


 i thank to GOD to created mer clever like that and for the step which i get!!you must welcome in this blogspot,thats for you!!nisiwatishe hata kiswahili naweza kuongea tuu!!kitu kilichopo ni kwamba karibuni sana katika blogspots yenu tuje tushare vitu vingi mwaya!!!teenz ndo wakati wenu wa mapinduzi ya kiburudani katika blogspot yenu!!!yaani kila kitu kipo humu kibaya na kizuri na hatuna upendeleo karibuni na kuwa free kutoa comment zako,ipo kwa ajili yako sana sana sana!!nawapenda wote!!